1. Eleza ngano za Yesu Nazipenda, Mambo angenifundisha angekuwa. Ya matukio, yake yote, Ngano za Yesu, Nazipenda.
2. Watoto walivyokaa kwa karibu; Nitadhania baraka zake kwangu; Matendo yake ya rehema, Ni kwa upendo wake Bwana.
3. Nihadithie na ile miujiza, Mawimbi ya baharini Galilaya! Na jinsi Bwana, Mkamili, Alikemea na tufani.