1. Mzaliwa horini, Sasa ni Mkombozi. Mwanzo aliteseka; Sasa ni Mtawala. Sasa ni Mtawala.
2. Mwanzo mwana kondoo, Sasa ni “MIMI NIKO”. Alionja mauti; Sasa yu mawinguni. Sasa yu mawinguni.
3. Alitokwa na damu, Sasa yu mtukufu. Aliyepingwa kwao; Sasa Mfalme wao. Sasa Mfalme wao.
4. Aliachwa mpweke, Sasa enzi ni yake. Yote alibebeshwa; Sasa habebi tena. Sasa habebi tena.