Nyimbo Za Dini Pamoja Na Nyimbo Za Watot (1983),
p. 19
Yesu Alizaliwa Kimaskini
Yesu Alizaliwa Kimaskini
1. Mzaliwa horini,
Sasa ni Mkombozi.
Mwanzo aliteseka;
Sasa ni Mtawala.
Sasa ni Mtawala.
2. Mwanzo mwana kondoo,
Sasa ni “MIMI NIKO”.
Alionja mauti;
Sasa yu mawinguni.
Sasa yu mawinguni.
3. Alitokwa na damu,
Sasa yu mtukufu.
Aliyepingwa kwao;
Sasa Mfalme wao.
Sasa Mfalme wao.
4. Aliachwa mpweke,
Sasa enzi ni yake.
Yote alibebeshwa;
Sasa habebi tena.
Sasa habebi tena.
Maandishi: Parley P. Pratt, 1807–1857
Muziki: Giacomo Meyerbeer, 1791–1864, umefanyiwa marekebisho
Maandishi: Parley P. Pratt, 1807–1857
Muziki: Giacomo Meyerbeer, 1791–1864, umefanyiwa marekebisho