1. Mbali kwenye nyanda za Yudea, Wachungaji walisikia:
Utukufu, Utukufu, Utukufu kwake Mungu. Amani duniani, Kwa watu pawe kwema.
2. Sauti za upendo mtamu, Ujumbe mwema kutoka juu:
Utukufu, Utukufu, Utukufu kwake Mungu. Amani duniani, Kwa watu pawe kwema.
3. Tufurahie na malaika, Tuimbe kwa moyo mmoja:
Utukufu, Utukufu, Utukufu kwake Mungu. Amani duniani, Kwa watu pawe kwema.
4. Siku hiyo ifike haraka Ambapo wote tutaimba:
Utukufu, Utukufu, Utukufu kwake Mungu. Amani duniani, Kwa watu pawe kwema.