Book cover

Nabii Mpendwa

Nyimbo za Dini, 14


0:00 0:00
Introduction
All Verses

1. Nabii mpendwa, twamuomba Akupe faraja, Mungu Baba. Miaka ijavyo na uzee, Na mwangaza wako uangaze, Na mwangaza wako uangaze.

2. Tunakuombea mioyoni, Ukapewe nguvu na Mwokozi Ya kutuongoza kila siku, Ya kuiangaza njia yetu, Ya kuiangaza njia yetu.

3. Tunakuombea, twakupenda, Na maombi yetu yasikika. Ubarikiwe na Mungu wetu, Na akupatie kila kitu, Na akupatie kila kitu.