1. Atukuzwe Mungu! Viumbe wajibu. Tumsifu. Katupenda kweli, Alibeba dhambi, Tupaze sauti: Astahili!
2. Yesu, Mungu, Bwana, Dhambi ajitwisha. Tumsifu. Tuushuhudie, Ule ushindiwe. Sifu jina lake: Astahili!
3. Majeshi mbinguni, Pamoja imbeni, Kumsifu; Mwenye enzi yake, Utukufu wake, Kutoka milele: Astahili!