1. Songeni mbele Watakatifu, Kwa tumaini nyoyoni mwenu, Na upendo wa Mungu na watu.
Aleluya! Aleluya! Aleluya!
2. Mtafute Kristo muwe naye. Jichukulieni jina lake, Atakupa nuru ya milele.
Aleluya! Aleluya! Aleluya!
3. Fuateni njia za Mwokozi. Tangazeni upendo wa dhati Uzima wa milele pateni.
Aleluya! Aleluya! Aleluya!