1. Nyenyekea ushindwapo, Bwana atakuongoza, Atakuongoza na kuyajibu maombi. Nyenyekea uombapo, Bwana atakubariki, Atakubariki kwani hakika hujali.
2. Nyenyekea kwenye wito, Bwana atakufundisha, Kutumikia watu, kwa pendo la upole. Nyenyekea tamanio, Bwana atakufikisha, Atakufikisha uishi naye milele.