1. Amri zake Mungu Ni njema hakika! Mtwike mzigo wako, Na atakutunza.
2. Kwenye lindo lake, Wema huwalea. Mkono wake mkuu Wana huwalinda.
3. Mzigo wa hofu, Usikuangushe. Kimbilia kwake Baba Nguvu upatiwe.
4. Wema wake kwetu Haubadiliki; Nitautua mzigo, Na nitafurahi.