1. Alipokuwa mbinguni Bwana aliteuliwa Kuokoa wenye dhambi; “Iwe upendavyo, Baba.”
2. Mtawala na Mfalme Mnyenyekevu akawa, Wakati na hali zote; “Iwe upendavyo, Baba.”
3. Si miiba, si kejeli Kristo zingemzuia. Hakujali yake nafsi; “Iwe upendavyo, Baba.”
4. Mkate nacho kikombe, Ni kumbukumbu ya Bwana. Tuombe nguvu tuseme, “Iwe upendavyo, Baba.”