1. Twarudisha kwako Baraka adhimu; Twajua tulivyo navyo Umetupa, Mungu.
2. Wingi wa neema, Kama wakadamu, Twapokea na kuleta Milimbuko yetu.
3. Kuwapa faraja, Kupoza taabu, Wanyonge kuhudumia Ndiyo kazi kuu.
4. Twaamini neno, Japo tu dhaifu; Kila tuwatendealo, Twatenda kwa Yesu.