1. Tuko huru kuchagua Jinsi tutakavyokuwa; Mungu hatulazimishi Kurudi kwake mbinguni.
2. Aita, aelekeza, Abariki kwa mwangaza, Ni mkarimu, mzuri, Na pia halazimishi.
3. Bila uhuru, busara, Sisi ni kama wanyama, Ambao hawafahamu Peponi na jehanamu.
4. Tutumie mamlaka Kuchagua yale mema; Anafurahia Kristo Tukitafuta upendo.