Book cover

Baba Anaishi

Nyimbo za Dini, 182


0:00 0:00
Introduction
All Verses

1. Baba anaishi, na ananipenda. Huu ni ukweli Roho huninong’oneza. Huninong’oneza.

2. Kukuza imani, kanileta hapa. Roho huninong’oneza kwamba ninaweza, Kwamba ninaweza.