1. Ninayapenda maandiko, Na ninaposoma, Namhisi Roho anikuza moyo, Ukweli kushuhudia.
Nitachunguza, Sali na tafakari. Nitajifunza na kutambua Maneno ni ya kweli.
2. Nitayasoma maandiko Mwangu maishani, Nitazielewa sheria za Bwana. Atakavyo nitaishi.
Nitachunguza, Sali na tafakari. Nitajifunza na kutambua Maneno ni ya kweli.