1. Enyi wenye shukrani; Mavuno imbieni. Ndani yamekusanywa; Baridi imeanza. Vyote atoa Mungu Kwa uhitaji wetu. Njooni hekaluni Mavuno imbieni.
2. Dunia ni ya Mungu, Ni shamba la kusifu: Magugu kwa majuto, Bali shangwe kwa ngano. Kwanza jani na suke, Halafu mbegu yote. Bwana amekubali Tuwe mbegu halisi.