Book cover

Malaika wa Juu

Nyimbo za Dini, 116


0:00 0:00
Introduction
All Verses

1. Malaika wa juu Makondeni waimba, Na milima yajibu Miwangwi ya furaha.

Utukufu kwake Mungu juu. Utukufu kwake Mungu juu.

2. Wachungaji, kunani? Mbona nyimbo mwaimba? Ni taarifa gani Zinazowavutia?

Utukufu kwake Mungu juu. Utukufu kwake Mungu juu.

3. Njooni mumuone Yule anayeimbwa; Njoo, msujudie Mtoto, Kristo Bwana.

Utukufu kwake Mungu juu. Utukufu kwake Mungu juu.