1. Eti! Vijana wasite Haki kuitetea? Huku asumbua mwovu, Tuache kupambana? La!
Tupo waaminifu wa imani Ya wazazi wetu na ya Nabii; Na kwa Mungu, Watiifu, Daima tu waadilifu.
2. Twajua nguvu za giza Zinampinga Kristo, Je, watoto wa ahadi Hawatashika neno? La!
Tupo waaminifu wa imani Ya wazazi wetu na ya Nabii; Na kwa Mungu, Watiifu, Daima tu waadilifu.
3. Tutatafuta wokovu; Ukweli tutashika; Tutasali tuwe macho Kwa ari ya ujana. Na’m!
Tupo waaminifu wa imani Ya wazazi wetu na ya Nabii; Na kwa Mungu, Watiifu, Daima tu waadilifu.
4. Twapania kustahili Ufalme wake Kristo, Na waaminifu wote Waliotii neno. Na’m!
Tupo waaminifu wa imani Ya wazazi wetu na ya Nabii; Na kwa Mungu, Watiifu, Daima tu waadilifu.