Number 147
Tupo Waaminifu wa Imani
Tupo Waaminifu wa Imani
1. Eti! Vijana wasiteHaki kuitetea?Huku asumbua mwovu,Tuache kupambana? La!
Tupo waaminifu wa imaniYa wazazi wetu na ya Nabii;Na kwa Mungu,Watiifu,Daima tu waadilifu.
2. Twajua nguvu za gizaZinampinga Kristo,Je, watoto wa ahadiHawatashika neno? La!
Tupo waaminifu wa imaniYa wazazi wetu na ya Nabii;Na kwa Mungu,Watiifu,Daima tu waadilifu.
3. Tutatafuta wokovu;Ukweli tutashika;Tutasali tuwe machoKwa ari ya ujana. Na’m!
Tupo waaminifu wa imaniYa wazazi wetu na ya Nabii;Na kwa Mungu,Watiifu,Daima tu waadilifu.
4. Twapania kustahiliUfalme wake Kristo,Na waaminifu woteWaliotii neno. Na’m!
Tupo waaminifu wa imaniYa wazazi wetu na ya Nabii;Na kwa Mungu,Watiifu,Daima tu waadilifu.
Maandishi na muziki: Evan Stephens, 1854–1930