Nyimbo Za Dini Pamoja Na Nyimbo Za Watot (1983),
p. 21
Ewe Myngu Baba Wa Milele
Ewe Myngu Baba Wa Milele
1. Ee Baba wa milele,Uliye mbinguni,Katika jina Lake,Takasa, bariki—Ikiwa tu wasafi—Mkate, divai,Ili tuikumbukeDamu nao mwili.
2. Dhabihu takatifuTusiyoelewa,Kusamehewa dhambi,Na kumkumbuka,Ili tushuhudieKuteswa kwa Kristo,Tuwe na Roho wake,Na upatanisho.
3. Na Yesu, Mteule,Akashuka chiniKujitoa dhabihuKuokoa nafsi—Asiye na mvuto,Wa kutamaniwa—Mwokozi wa ahadiAkatutakasa.
4. Ile hekima kuu,Mpango kamiliUlifanya wokovu,Neno kuwa mwili,Kushuka dunianiAwe mwanadamu,Afe, japo Mfalme,Kutuweka huru.
Maandishi: William W. Phelps, 1792–1872. Yalijumuishwa katika kitabu cha kwanza cha nyimbo za Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu wa Siku za Mwisho, 1835.
Muziki: Felix Mendelssohn, 1809–1847
Maandishi: William W. Phelps, 1792–1872. Yalijumuishwa katika kitabu cha kwanza cha nyimbo za Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu wa Siku za Mwisho, 1835.